LEO Rais Samia Suluhu Hassan amechoma chanjo ya COVID 19.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan leo Julai 28,2021 amepata chanjo ya Covid- -19 mbele ya viongozi mbalimbali wa dini na Serikali ikulu jijini Dar es salaam. Rais Samia amepata chanjo hilo leo ikiwa ni siku ya ufunguzi wa utoaji chanjo hapa nchi na kuwatoa hofu watanzania kuwa chanjo hiyo